1 Corinthians 11:27

Kushiriki Meza Ya Bwana Isivyostahili

27 aKwa hiyo, mtu yeyote alaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
Copyright information for SwhNEN